Kanisa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
New page: '''KANISA''' Neno hilo linatumika kumaanisha mkusanyiko wa Wakristo kati ngazi ya kimataifa na katika mahali fulani. Linaweza kutumika pia kumaanisha jengo wanamokusanyika hasa kwa ibada....
 
No edit summary
 
Mstari 1:
'''KANISA'''
 
Neno hilo linatumika kumaanisha mkusanyiko wa Wakristo katikatika ngazi ya kimataifa na katika mahali fulani. Linaweza kutumika pia kumaanisha jengo wanamokusanyika hasa kwa ibada. Kadiri ya imani ni Mwili wa Kristo, ambao unaundwa na [[Yesu]] kama kichwa na wafuasi wake kama viungo vyake.